MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Tuesday, 23 December 2014

DODOMA;HATUTAKI TIKETI WASIKILIZE HAPA>>


Licha ya serikali kuweka sheria kali dhidi ya watu wanakatisha ndoto za wanafunzi wa kike kwa kuwapa ujauzito,na  kuharibu malengo yao,imetajwa kuwa tatizo bado ni kubwa kutokana na wanafunzi kuendelea kupata ujauzito wakiwa shuleni tena katika umri mdogo.

Share:

Thursday, 18 December 2014

KIMBEMBE CHA SHULE YA MSINGI MKURABI.SIKILIZA HAPA


Ili kufanikisha azima ya serikali juuu ya elimu hususani Matokeo Makubwa sasa.BRN serikali imejipanga kutatu changamoto za elimu kwa kila shule,Lakini Licha ya Jitihada hizo za serikali bado shule nyingi zinakabiliwa na changamoto mbalimbali.

Share:

Tuesday, 16 December 2014

KISIMA CHA MAAJABU CHA TOA MAJI MSISI SIKILIZA NA UIDOWNLOAD

Licha ya serikali kutekeleza  na kuweka mikakati mbalimabli ili kuhakikisha jamii inapata maji safi na salama lakini baadhi ya maeneo hususani vijijin bado huduma ya maji ni changamoto kubwa, kwa mjibu wa  tafiti zilizotolewa na ofisi ya  mipango kazi kwa kushirikiana na ofisi ya mkkuu wa mkoa wa Dodoma.zinasema tatizo hili huwa kubwa sana wakati wa kiangazi.

Share:

Thursday, 11 December 2014

(TAKUKURU);MPOKEA RUSHWA KWENYE UCHAGUZI ANACHO.

Na Martha magawa  ...Dodoma 
Wakati kampeni za uchaguzi  wa serikali za mitaa zinaelekea ukingoni Taasisi Ya Kuzuia Na Kupambana Na Rushwa (TAKUKURU) Imewataka wananchi kutojihusisha na masuala mazima ya kupokea rushwa.
Share:

Wednesday, 10 December 2014

NEW AUDIO"TUNDAMAN=ACHANA NA MIMI DOWNLOAD

Ujio mpya kutoka kwa khalid ramadhan 'tundaman'mara baada ya msambinungwa na sasa amerejea na nyimbo mbili tofauti zilizofanywa  maproduzya wawili tofauti.

nyimbo ya kwanza ni walewale imefanywa kw Maneck-AM records na ya pili ni Achana na mimi chaina ya Messen Selekta.studio za defatality music.
Hii hapa ni  Achana na mimi sikiliza na uidownload. 

Share:

KIBONZO CHA LEO NI UHALISIA,,,,BOFYA HAPA>>>

Uhalisia wa maisha kwa mtanzania ndo huu hapa licha ya ksuifika na sifa lukuki kwa mataifa mbalimbali,lakini maisha ya mwananchi wa kawaida ndo haya....

Share:

Saturday, 6 December 2014

KUJUA SHERIA ZA KANI NI MHIMU!! SOMA ZAIDI

Waajiri na waajiriwa wametakiwa kutambua haki zao katika maeneo yao ya kazi ili kuepukana na matatizo yasiyo ya msingi yanayojitokezea baina ya muajiri na muajiriwa

Share:

Monday, 24 November 2014

WIKI YA MAJERUHI NDO HII!!!


Wiki hii inatarajiwa kuwa ya vikao mfululizo na mijadala isiyokoma. Ndiyo wiki inayotarajiwa kuuweka hadharani mtikisiko wa tano katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wakati ripoti ya uchunguzi wa sakata la IPTL itakapowasilishwa rasmi kwa wabunge na Taifa kwa jumla mjini Dodoma keshokutwa na kuhitimisha minong’ono na uvumi.
Share:

Thursday, 13 November 2014

MISITU ASILI NI ZAIDI YA MALI..


Wakazi wa manispaa ya Dodoma wametakiwa kutambua umhimu wa kutunza misitu asilia.

Akizungumza na Uhakika Info mkuu wa kitengo cha utunzaji misitu Makae Festo kutoka Shirika la World Vision amesema kuwa misitu asi
lia inafaida kubwa hivyo jamiki in atakiwa kutambua umhimu wake na kuitunza.

Share:

Friday, 31 October 2014

HISTORIA NYINGINE KUWEKWA TZ WIKI LIJALO



Ifikapo Tarehe 8 Novemba Saa 10 jioni,Kijana mwenzetu ambaye sisi tunamdharau na wengine wapuuzi kabisa kwa kufeli kwao maisha wana wivu na wanathubutu kumzomea atakuwa anatunukiwa Shahada ya Uzamivu(Phd) na Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam(UDSM) kwa kuthamini mchango wake kwenye jamii...Honorary Phd hata Raisi wetu anayo...

Share:

Thursday, 25 September 2014

POLISI DODOMA YA OKOTA VIPEPERUSHI VYA UVUNJIFU WA AMANI.


Na Stanley Msigwa                                                           Chanzo jeshi la polisi

Jeshi la polisi mkoa wa Dodoma limesema  leo alfajiri vimeokotwa vipeperushi  maeneo mbalimbali  mjini hapa vyenye  ujumbe unao chochea uvunjifu wa amani.
Share:

Tuesday, 23 September 2014

HABARI NJEMA KWA "MSPS" BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI


Kile chuo bora kwa kutoa wataalamu wa taaluma mbalimbali mjini,vijijini hadi jijini...ili kuhakikisha wanatoa output ya uhakika safari hii wamekuja na mambo mapya,na wanakuletea radio rasmi inayojulikana kwa jina la PROFESSIONAL FM.

Share:

Wednesday, 17 September 2014

NEW AUDIO#DOGO D-SIWEZI KUWA WAKO

rapper mdogo kuliko wote kwa sasa tz Kutoka jiji la mawe,rock city mwanza! amekuja kwa awamu nyingine na track mya inayoenda kwa jina la siwez kuwa wako.imetengezwa na nunda rec.

ipakue hapa na usikilize bonge moja la hiphop.

Share:

Saturday, 13 September 2014

NEW!!! P SQUARE FT AWILO LONGOMBA-ENEMY DOWNLOAD

ILI KUWA HAKIKISHIA MASHABIKI KUWA  VIJANA WANAWEZA ZAIDI SAFARI HII WAMEKUJA NA BOLINGO KALI HII HAPA CHINI ISKILIZE WAMEMSHIRIKISHA NGULI WA MZIKI HUO AWILO KUTOKA DRC CONGO.
Share:

Sunday, 17 August 2014

MADEREVA BODABODA;KUOSHA KOFIA NI NGUMU.



 Na Andrew Chaopa   
Madereva bodaboda  Mkoani Dodoma wametakiwa kuwa na utaratibu wa kupiga dawa mara kwa mara kofia  zinazovaliwa na watumiaji wa usafiri huo  ili kupunguza maambukizi ya magonjwa. 

Share:

Friday, 8 August 2014

MGIMWA:NANE NANE ILINZI WA KUTOSHA!



Na Nazael Mkude 

Serikali  imeahidi kushirikiana na idara na taasisi mbalimbali kwa lengo la kuboresha maonesho ya sikukuu  ya wakulima  Nane Nane.

Share:

Monday, 28 July 2014

RUSHWA YAMALIZA MAZINGIRA KIJIJI CHA MAKULU.


Wakazi wa kijiji cha Hombolo Makulu Mkoani  Dodoma wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kushindwa kudhibiti  tatizo la  uharibifu wa mazingira  katika vyanzo vya maji .

Share:

Thursday, 24 July 2014

WANANCHI DODOMA WAILILIA DUWASA


Wakazi wa Manispaa ya  Dodoma wameulalamikia uongozi wa mamlaka ya maji safi na Usafi wa Mazingira DUWASA kwa kuwakatia maji ili hali wakijua wana hali ngumu   ya kiuchumi.
Share:

Friday, 18 July 2014

NCHIMBI; MKOA WA DODOMA UMESHAMBULIWA NA MBWA VICHAA!!


Mkoa wa Dodoma na wilaya zake unakabiliwa na tatizo  la  kuzuka kwa mbwa wenye ugonjwa wa kichaa wanaowadhuru wananchi na kuwasababishia  madhara  makubwa.

 

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi  alipokuwa akizungumza na Dodoma FM  katika Viwanja vya Nane nane ambapo amesema mpaka sasa takribani watu kumi huripoti  hospitali  kwa  siku  kutokana na kuumwa na mbwa  hao.

Share:

Thursday, 17 July 2014

MATOKEO YA UALIMU KWA 2014 HAYA HAPA!!

HAYA HAPA MATOKEO YA WALE WOTE WALIO CHAGULIWA KATIKA FANI/TAALUMA YA UALIMU KWA TZ MWAKA 2014 TAZAMA KWA KUBOFYA HAPO..

http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ualimu.html

Share:

HUU NDIO UFAULU KWA KIDATO CHA SITA 2014 MATOKEO YOTE HAYA HAPA.


 Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825......

Share:

Saturday, 12 July 2014

SIKILIZA RAND NEW TRACK!!!!!!! RAS KIPARA FT DARK MASTER & DOUBLE Y=NJIWA

KAMA ULIKUWA HUJAWAHI MSIKILIZA HUYU JAMAA SASA NI FURSA YAKO KUISIKILZA SWEET RAGGAE YA MKALI KUTOKA DODOMA...

Share:

Friday, 4 July 2014

TAZAMA NEW VIDEO YA IBRA MAMBO-PRODYUZA FUNDI SAMWELI






KAMA UNAKUMBUKU NZURI IBRA MAMBO NI MIONGONI MWA WASANII WALIO FANYA VIZURI KWA BAADHI YA TRUCK ZAKE NYANDA ZA JUU KUSINI(IRINGA)
NA SASA YUPO MJINI DODOMA NA YUPO KATIKA REBO YA COCO RECO MJINI DODOMA...,,,,,,,,

Share:

ISIKILIZE NA UIDOWNLOAD HAPA SAFARI YA DJ SINGLE ILIVYOKUWA KATIKA STUDIO ZA COCO REC!!!

KA ILIVOADA YA DJ SINGLE S WA KITUO CHA RADIO CHA DODOMA FM 98.4 KUTEMBELEA STUDIO MBALIMBALI NA KUANGALIA CHANGAMOTO NA MATATIZO YA WASANII CHIPUKIZI MKOANI HAPO JINSI WANAVO HANGAIKA KUHAKIKISHA WANATOKA KIMZIKI...WIKI HII  AMETEMBELEA  STUDIO ZA COCO RECORDS ILIYOPO AREA 'A' MAENEO YA FM HOTEL STUDIO INAYO SIMAMIWA NA KUMILIKIWA NA ATHA ALBERT NA NIPRODUZA PIA.................................................COCO RECORDS NI STUDIO INAYOSEMEKANA KUWA NI YA KWANZA KUANZISHWA MKOANI DODOMA KULIKO YEYOTE UIJUAYO MKOANI HAPO...NA ILIANZISHWA MWAKA 2002 NA BAADAE KUFUNGWA MWAKA 2006 WAKATI MMILIKI HUYO AKIENDA KUPATA MASOMO NJE YA NCHI.

Share:

Wednesday, 2 July 2014

NEW!!!!!!!!!!!!! DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPYA WA SNAIDA-MUHTASARI WA HABARI.BONGE


  Na stanley msigwa

BONGE MOJA LA JOINT KUTOKA KWA UPCOMING ARTIST KUTOKA SOUTHERN HIGH LAND(NYANDA ZA JUU KUSINI) MEANS  NJOMBE NCHI YA AHADI SALI NA MAZIWA.

Share:

Monday, 30 June 2014

RADHI!!!! RADHI!!!!! RADHI!!!! RADHI!!!!

 

uongozi wa Dodoma Fm unapenda kuwatangazia wapenzi waskilizaji wake wote ambao huwa wanasikiliza kwa njia ya mtandao yaani Online Audience.

Share:

Friday, 27 June 2014

MAJI TAKA MKOANI DODOMA YAGEUZWA NA KUTUMIKA NA WAKULIMA....


 
 
Na Stanley Msigwa
Kufuatia kauli ya shirika la  maji safi na maji taka pamoja na usafi wa mazingira mkoa wa Dodoma DUWASA  kuwataka wakulima wa mboga katika bwawa la Swaswa kata ya Ipagala katika manispaa ya Dodoma kusitisha shughuli hiyo kutokana na usalama kiafya, wakulima wa eneo hilo watoa maoni juu ya kauli hiyo.
Share:

Wednesday, 25 June 2014

HABARI KUU KITAIFA LEO HIZI HAPA


KITAIFA
Na lucas godwini
Serikali kupitia wizara ya Viwanda imesema hairuhusu kutumia kuni na magogo kwa ajili ya uzalishaji viwandani hapa nchini.
Share:

STORY KUBWA LEO DUNIANI NI HIZI HAPA



KIMATAIFA
Na Mariam  Kasawa
Maafisa wa wizara ya ulinzi nchini Ukraine wamesema kuwa waasi wanaotaka kujitenga ambao wanaiunga mkono Urusi wamelipua ndege iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa serikali na kuwauwa watu tisa.
Share:

Monday, 23 June 2014

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa kwa miezi sita nchini humo.



Dodoma
Vikundi shirikishi vya polisi jamii katika manispaa ya  Dodoma vimeelezea changamoto  mbalimbali zinazowakabili a wakati wa kutoa elimu ya ulinzi na usalama.

Share:

Friday, 20 June 2014

STORY KUBWA NA MATUKIO KWA LEO JUNE 20 SOMA..


DODOMA
Wabunge wameendelea kuishauri Serikali juu ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa ajili ya kuwekeza katika maendeleo ya Taifa.
Share:

HIKI NDICHO WALICHOVUNA UGANDA MARA BAADA YA KUPINGA USHOGA


 Mara baada ya Uganda kupinga ushoga hiki ndicho watu wa magharibi walichosema.

Msemaji wa Whitehouse, Caltlin Hayden ameeleza katika barua yake kwa vyombo vya habari kuwa sheria iliyopitishwa na bunge la Uganda ikiuka haki za binadamu.
Share:

Thursday, 19 June 2014

HABARI ZA LEO NA MATUKIO YA DODOMA FM HAYA HAPA JUNE 19


 

DODOMA

Wakazi wa Kata ya Hombolo  Manispaa ya Dodoma wamelalamika tatizo la uhaba wa maji safi  linalo wakabili  kijijini hapo.
Share:

Tuesday, 17 June 2014

TAARIFA YA HABARI JUNI 17 YA DODOMA FM ISOME HAPA




DODOMA.
Uchache wa Shule za Msingi katika Kijiji cha  Mpunguzi Mkoani Dodoma umepelekea watoto wengi kujiingiza katika Ajira.
Share:

Monday, 16 June 2014

PATA HABARI NZIMA YA DODOMA FM YA LEO HAPA



DODOMA
Wananchi pamoja na viongozi mbalimbali Mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa kuchangia damu  salama ili kuweza kuokoa maisha ya  wagonjwa wengine.
Wito huo umetolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr.Zainabu Chaula katika maadhimisho ya uchangiaji Damu yaliyofanyika mwishoni mwa wiki ambapo amesema kuwa kumekuwa na vifo vingi vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua hivyo ni  vyema wananchi wajitokeze kuchangia damu.
Share:

Sunday, 15 June 2014

WABUNGE WAKALIA 2-0

mechi kati ya wabunge na Nmb dodoma imefanyika hii leo katika uwanja wa jamhuri ambapo mpka mpira unaisha Nmb ilikua inaongoza kwa magoli 2-0.

Share:

TAZAMA MKWANJA WA MSHIND WA MTV DAVIDO KWA MWEZI


Huko Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.

Share:

BOB AFUNGUKA KUHUSU NGOMA YA UKWELI WANGU


 Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa habari za burudani Tanzania, utakuwa umekutana na taarifa za msanii Raheem Rummy Nanji aka Bob Junior kutengana na mke wake Halima Ally baada ya kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yao.

Share:

SOMA TAARIFA YA HABARI YA DODOMA FM HAPA


DODOMA
Wakulima wa manispaa ya Dodoma  wameiomba serikali kuboresha mfumo wa uendeshaji  wa zoezi la sensa ya watu na makazi
Wakizungumza na Dodoma fm wakulima wa mkoa wa Dodoma wamesema hawanufaiki chochote tangu kuanzishwa kwa mchakato huo wa sense ya watu na makazi.
Nae bw.  Mafita maulid ameiomba serikali kuboresha huduma mbalimbali za jamii iliwaweze kujua umuhimu wa sense.
Share:

Friday, 13 June 2014

DON JAZZY KAMWAJIRI MFANYAKAZI WA SHIRIKA LA NDEGE SOMA..


Mfanyakazi wa shirika la airline aliyefukuzwa kazi baada ya kumruhusu kuendesha gari dogo linalotumika kubeba mizigo (arport cart), kinyume cha sheria. 

Don jazzy alifika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa murtala mohammed, lagos nigeria wakati akielekea kwenye tuzo za mtv afrika kusini ambapo aliruhusiwa na mfanyakazi huyo kuendesha kigari hicho tena akiwa na mfanyakazi huyo pembeni.

Share:

SOMA HAPA ALICHOKUTANA NACHO MASOGANGE JELA YA SAUZI


video kwin.. agness gelard a.ka. masogange amefunguka kuhusiana na na matatizo aliyopata jela mwaka jana kule sauzi afrika  alipokama twa na mzigo uliosadikika kuwa ni ..(kushiiii) madawa ya kulevya…
Share:

WALIOPOTEA MALAYSIA FAMILIA ZAO KULIPWA




familia za abiria waliopotea na ndege ya malaysia wameanza kupokea malipo ya awali ya fidia ya dola elfu 50 kila mmoja.

 mpaka sasa, familia sita kutoka malaysia na moja ya china wamepokea fedha hizo na makampuni ya bima yanadai kiasi cha fedha kwa familia 40 zaidi.

ndugu wa abiria wote 239 waliokuwa ndani ya ndege hiyo wanaweza kudai fedha taslimu takribani dola laki moja na elfu 75 kila mmoja.

ndege ya malaysia yenye namba mh370 ilipotea machi 8 mwaka huu wakati ikisafiri kutoka kuala lumpur hadi beijing ambapo hadi sasa haijapatikana.
Share:

Blog Archive