MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Friday, 18 July 2014

NCHIMBI; MKOA WA DODOMA UMESHAMBULIWA NA MBWA VICHAA!!


Mkoa wa Dodoma na wilaya zake unakabiliwa na tatizo  la  kuzuka kwa mbwa wenye ugonjwa wa kichaa wanaowadhuru wananchi na kuwasababishia  madhara  makubwa.

 

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi  alipokuwa akizungumza na Dodoma FM  katika Viwanja vya Nane nane ambapo amesema mpaka sasa takribani watu kumi huripoti  hospitali  kwa  siku  kutokana na kuumwa na mbwa  hao.

Share:

Blog Archive