MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Monday, 9 June 2014

UDOMU-,IFM,NA USTAWI WAPETA KATIKA MISS INTER-COLLAGE

warembo hao wakipita  kwa madaha mbele ya jukwaa la royal hall

................................................................................................................

Mamiss wakionyesha baadhi ya ujuzi waliojaariwa kwenye kucheza

Mamiss wakionyesha baadhi ya ujuzi waliojaariwa kwenye kucheza

Mamiss wakionyesha baadhi ya ujuzi waliojaariwa kwenye kucheza

moja ya mshiriki wa shindano hilo akihojiwa na mtangazi wa dodoma fm quick de master 

mshindi wa kwanza katika mashindano hayo anatoka chuo kikuu cha dodoma  anajulikana kama sophia masei,wa pili kutoka IFMna watatu kutoka Ustawi wa jamii ya Dar es Salaam.

pia mashindano hayo yalihudhuliwa na  Naibu waziri wa habari,vijana burudani na michezo Mh.Juma Nkamia


Share:

Blog Archive