MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Friday, 20 March 2015

TMF USO KWA USO NA SAUTI YA KATAVI>>

Mwakilishi kutoka mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF)Alex Kanyambo.Picha na Stanley Msigwa
Mwakilishi kutoka mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF)Alex Kanyambo.Picha na Stanley Msigwa

 Hivi Ndivyo Hali Inavyoendelea Katika Kikao Kinachoendelea Baina Ya Waandishi Wa  Mpanda Radio Fm(Sauti Ya Katavi)  Chini Ya Mkurugenzi Mtendaji,Amini Mitha,Meneja ,Prosper Kwigize,Na Mshauri Na Mahusiano, Leonard Chikoti,Na Wawakilishi Kutoka Mfuko Wa Vyombo Vya Habari Tanzania TMF(Tanzania Media Fund)Bwana Alex Kanyambo na Mwanzo Millinga.

Share:

MSENGI:LAZIMA WOTE WARUDI SHULENI.

Ibrahim-Msengi
Mkuu wa Mkoa Wa Katavi,Dr Ibrahim Msengi,Picha na Maktaba

Na Meshack Ngumba-Katavi

 MKUU wa Mkoa wa Katavi Dokta IBRAHIMU MSENGI ameagiza Wanafunzi waliohitimu Elimu ya Msingi mwaka 2014 na kufaulu kwa kuchaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari, waripoti katika shule walizopangiwa.
Share:

Blog Archive