MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Sunday, 15 June 2014

WABUNGE WAKALIA 2-0

mechi kati ya wabunge na Nmb dodoma imefanyika hii leo katika uwanja wa jamhuri ambapo mpka mpira unaisha Nmb ilikua inaongoza kwa magoli 2-0.

Share:

TAZAMA MKWANJA WA MSHIND WA MTV DAVIDO KWA MWEZI


Huko Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.

Share:

BOB AFUNGUKA KUHUSU NGOMA YA UKWELI WANGU


 Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa habari za burudani Tanzania, utakuwa umekutana na taarifa za msanii Raheem Rummy Nanji aka Bob Junior kutengana na mke wake Halima Ally baada ya kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yao.

Share:

SOMA TAARIFA YA HABARI YA DODOMA FM HAPA


DODOMA
Wakulima wa manispaa ya Dodoma  wameiomba serikali kuboresha mfumo wa uendeshaji  wa zoezi la sensa ya watu na makazi
Wakizungumza na Dodoma fm wakulima wa mkoa wa Dodoma wamesema hawanufaiki chochote tangu kuanzishwa kwa mchakato huo wa sense ya watu na makazi.
Nae bw.  Mafita maulid ameiomba serikali kuboresha huduma mbalimbali za jamii iliwaweze kujua umuhimu wa sense.
Share:

Blog Archive