Tanzania Anthem

Sunday, 15 June 2014

WABUNGE WAKALIA 2-0

mechi kati ya wabunge na Nmb dodoma imefanyika hii leo katika uwanja wa jamhuri ambapo mpka mpira unaisha Nmb ilikua inaongoza kwa magoli 2-0.

Mchezo huo ulikuwa ni wa kirafiki nalengo kuu la mchezo ni kuwa karibu kwa waheshimiwa na wapiga kura wao.

mechi hiyo pia imerushwa live na kituo cha redio cha Dodoma Fm 98.4 na watangazaji Jalilo Matereka kutoka uwanja wa Jamhuri Dodoma na Studio muongozaji alikuuwa ni Stanley msigwa na Lucas godwin.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive