Tanzania Anthem

Sunday, 15 June 2014

BOB AFUNGUKA KUHUSU NGOMA YA UKWELI WANGU


 Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa habari za burudani Tanzania, utakuwa umekutana na taarifa za msanii Raheem Rummy Nanji aka Bob Junior kutengana na mke wake Halima Ally baada ya kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yao.

Katika maelezo yake bob kasema  nyimbo ile ilivuja na sababu hazija julikana.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive