MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Saturday, 29 October 2016

TULIPO SIPO-TUJITATHIMINI-VIDEO


UKianza kutafakari kwa kina maelezo aliyoyatoa wiki hii Daktari Charles Masonde wa NECTA Utagundua Kuwa Wasomi Uchwara Tulio nao Wanatengezwa na Uroho wa Pesa na Sifa Kwa UMMA,
Mkururu wa Maelezo aliyotoa Katibu Mtendaji wa NECTA Dr Masonde Utagundua Kuwa Matokeo ya mitihani Kila yanapotoka Shule za watu binafsi ama Asasi zisizo Za serikali ndo zinaongoza Kufaulisha.

Share:

Blog Archive