MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Tuesday, 24 March 2015

WALA FAINI KWA KUPANDISHA NAULI>>

basiNa Stanley Msigwa-katavi
mamlaka ya usafirishaji nchi kavu na majini SUMATRA Mkoa wa Katavi Imelitoza basi La A.N linalofanya Safari kati ya Katavi na Tabora faini ya zaidi shilingi laki saba kwa makosa matatu tofauti,likiwemo la kupandisha nauli.
Akizungumza na mpanda radio fm/mtandao meneja wa SUMATRA Bwana Aman Erasto amesema kuwa basi hilo lenye namba za usajili T-810 AQY lilikiuka sheria kwa kujaza abiria kupita kiasi,kupandisha nauli zaidi ya bei elekezi na kufanya safari nje na ratiba.

Kwa upande wake bwana Thobiasi Joseph Msimamizi wa Magari ya Kampuni ya Zackaria Express Ameitaka SUMATRA kuangalia miundo mbinu kabla ya kuwatoza faini kwani miundo mbinu ndio chanzo cha wao kuvunja sheria.

Nae bwana masanja mwanaharakati NI miongoni mwa abiria waliokutwa na mkasa wa kupandishiwa nauli amesema kuwa kitendo kilichofanywa na SUMATRA mkoani katavi ni uvamizi kutokana na mamlaka hiyo kutangaza kushusha bei za mafuta na sio nauli.
Share:

Blog Archive