Kwa upande wake bwana Thobiasi Joseph Msimamizi wa Magari ya Kampuni ya Zackaria Express Ameitaka SUMATRA kuangalia miundo mbinu kabla ya kuwatoza faini kwani miundo mbinu ndio chanzo cha wao kuvunja sheria.
Nae bwana masanja mwanaharakati NI miongoni mwa abiria waliokutwa na mkasa wa kupandishiwa nauli amesema kuwa kitendo kilichofanywa na SUMATRA mkoani katavi ni uvamizi kutokana na mamlaka hiyo kutangaza kushusha bei za mafuta na sio nauli.