Tanzania Anthem

Friday, 8 August 2014

MGIMWA:NANE NANE ILINZI WA KUTOSHA!



Na Nazael Mkude 

Serikali  imeahidi kushirikiana na idara na taasisi mbalimbali kwa lengo la kuboresha maonesho ya sikukuu  ya wakulima  Nane Nane.

Hayo yamesemwa na  Naibu waziri wa maliasili na utalii Mohamud  Hassan Mgimwa  alipokuwa akizungumza katika  uzinduzi wa maonesho ya Wakulima Mkoani Dodoma ambapo amesema   karibu aslimia kubwa ya wananchi ni wakulima hivyo  serikali itashirikiana na taasisi mbalimbali ili kuboresha sekta hiyo

Aidha  Naibu waziri  huyo amesema maonesho haya yataendelea kuboreshwa  mwaka hadi mwaka ili yawe na  mfano wa kuigwa kwa kanda nyingine .

Mbali na hayo  amesema kanda ya kati ina fursa nyingi kwa upande wa uzalishaji wa kilimo na ufugaji  ikiwa ni  pamoja na kuwa na ardhi ya kipekee yenye rutuba .

                                                                          

 

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive