Tanzania Anthem

Tuesday, 16 December 2014

KISIMA CHA MAAJABU CHA TOA MAJI MSISI SIKILIZA NA UIDOWNLOAD

Licha ya serikali kutekeleza  na kuweka mikakati mbalimabli ili kuhakikisha jamii inapata maji safi na salama lakini baadhi ya maeneo hususani vijijin bado huduma ya maji ni changamoto kubwa, kwa mjibu wa  tafiti zilizotolewa na ofisi ya  mipango kazi kwa kushirikiana na ofisi ya mkkuu wa mkoa wa Dodoma.zinasema tatizo hili huwa kubwa sana wakati wa kiangazi.Ambapo kati ya miradi ya maji  334 iliyokuwepo mwaka 1996 wastan wa asilimia 75 ya miradi hiyo ipo maeneo ya vijijini,na ambayo asilimia kubwa haifanyi kazi,kwa kutumia makadirio ya idadi ya watu kwa  mwaka 1996,watu millioni moja, laki tatu na sitini elfu,  mia tatu na themanini,..ni watu laki tano sabini na moja elfu mia sita kumi na moja  ambao hupata maji safi na salama  sawa na asilimia 42 ya watu wote,

STANLEY MSIGWA KUTOKA  DODOMA EMETEMBELEA KIJIJIN CHA MSISI ILI KUANGALIA UKUBWA WA TATIZO HILO NA CHANGAMOTO ZAKE.NA KUAANDAA HABARI IFUATAYO ISIKILIZA NA UIDOWNLOAD…..

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive