Tanzania Anthem

Thursday, 18 December 2014

KIMBEMBE CHA SHULE YA MSINGI MKURABI.SIKILIZA HAPA


Ili kufanikisha azima ya serikali juuu ya elimu hususani Matokeo Makubwa sasa.BRN serikali imejipanga kutatu changamoto za elimu kwa kila shule,Lakini Licha ya Jitihada hizo za serikali bado shule nyingi zinakabiliwa na changamoto mbalimbali.


Shule ya msingi Mkurabi katika mkoa wadodoma inakabiliwa na upungufu wa walimu,ikiwa na zaidi ya wanafunzi elfu moja na walimu sita tu,katika kuangalia athari za tatizo hilo mwandishi wetu STANLEY MSIGWA ametuandalia  taarifa ifuatayo….SIKILIZA NA UDOWNLOAD HAPO CHINI>>

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive