Tanzania Anthem

Tuesday, 23 December 2014

DODOMA;HATUTAKI TIKETI WASIKILIZE HAPA>>


Licha ya serikali kuweka sheria kali dhidi ya watu wanakatisha ndoto za wanafunzi wa kike kwa kuwapa ujauzito,na  kuharibu malengo yao,imetajwa kuwa tatizo bado ni kubwa kutokana na wanafunzi kuendelea kupata ujauzito wakiwa shuleni tena katika umri mdogo.
Adhabu mbalimbali zilitungwa na kuadhimiwa na mihimili ya serikali ikiwa ni pamoja na  mhusika kufungwa miaka thelathini jela,lakin bado jamii nyingi inaoneka kutohofia adhabu hiyo.
STANLEY MSIGWA Kutoka Dodoma Ameandaa taarifa zaidi juu ya jambo hilo.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive