Tanzania Anthem

Thursday, 13 November 2014

MISITU ASILI NI ZAIDI YA MALI..


Wakazi wa manispaa ya Dodoma wametakiwa kutambua umhimu wa kutunza misitu asilia.

Akizungumza na Uhakika Info mkuu wa kitengo cha utunzaji misitu Makae Festo kutoka Shirika la World Vision amesema kuwa misitu asi
lia inafaida kubwa hivyo jamiki in atakiwa kutambua umhimu wake na kuitunza.

Aidha amewataka wananchi kuacha dhana ya kuwa utunzaji wa miti ni jukumu la wakulim a kwani linapotokea tatizo la ukame ni la wote na sio wakulima pekee.

Kwa upande wake Bi Joyce Chonge Afisa misitu kanda ya Kati amesema kuwa wanao mkakati maalumu kwa kulinda na kuiendeleza misitu asili yote.

Bi bethi Paulo ni miongoni mwa wananchi wanaojihusisha na utunzaji wa misitu Asili mara baada ya kupatiwa elimu na Shirika La world Vision na ameitaka jamii kutunza misitu hhiyo kwa kiasi kikubwa.

 

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive