
video kwin.. agness gelard a.ka. masogange amefunguka kuhusiana na na matatizo aliyopata jela mwaka jana kule sauzi afrika alipokama twa na mzigo uliosadikika kuwa ni ..(kushiiii) madawa ya kulevya…
Mwanadada agnes amesema….nanukuuu,,,, nilivokua pale hata sikuamini kama kweli nitatoka leo au kesho maana watu walivokuwa wananchukulia ni tofauti..nilikua nazani nitapigwa sentensi ya miaka kumi au kumi na tano hivi lakini mungu mkubwa nimetoka.
Masogange alipoulizwa ukweli wa kile kilichomfunga alisema kuwa yaani nyie hamjui tu wanasema drug s lakin sio kweli kwani yanatumika hospitalini.zina tumika kutengeza panado…
Aggy pia amesema kuwa aaah amejifunza vingi sana kule gelezani na tofauti pia ya magereza ya bongo na sauzi pia ameiona maana kule wanakula vizuri,baada ya siku mbili wanabadilishiwa vitu ,maji ya kuoga wanapew a ya moto ila tu uhuru wanakuwa hawana.
USHAURI KWA WASICHANA
Nawashauri wasichana wenzangu wasiafanye hii kazi bora watafute fedha kwa biashara nyingine ila sio hii maana hii ukikamatwa tu miaka utakayo fungwa si michache,.
0 comments:
Post a Comment