MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Tuesday, 31 March 2015

TUPO VIZURI MSIMU HUU WA PASAKA.

policeNa Stanley Msigwa-Katavi.
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Katavi Kitengo Cha Usalama Barabarani Limesima Kuwa Limejipanga Kikamilifu,Kupambana Na Kudhibiti Vitendo Viovu  Vya Matumizi Ya Barabara Katika Msimu Huu Wa Sikukuu
Share:

Friday, 27 March 2015

KUCHELEWESHWA KWA KESI CHANZO CHA SHERIA ZA MKONONI.

Na Isaack gerald-KATAVI
Imeelezwa kuwa chombo cha mahakama kuchelewa kuwajibika ipasavyo katika kutoa maamuzi ya ma
shauri katika mahakama Mikoa ya Rukwa na Katavi kumekuwa chanzo cha wananchi kujichukulia sheria mkononi dhidi ya waharifu.
Share:

Thursday, 26 March 2015

10,961 Mkoani Katavi wanaishi na Virusi vya UKIMWI

Na Agnes mnubi-katavi
Jumla ya  watu 10,961 Mkoani Katavi wanaishi na Virusi vya UKIMWI ikiwa ni takwimu za Mkoa kwa mwaka 2014.
Share:

Wednesday, 25 March 2015

VIDEO:SNOOP DOG AZICHAPA KAVU KAVU!.

Snoop Dogg alikuwa mgeni kwenye ulingo wa mieleka wa WWE Raw inayofanyika kila jumatatu .Snoop Dogg aliingia kwenye ulingo na kutaka pambano na mcheza mieleka Curtis Axel aliyekuwa akimtani kwenye mitandao ya kijamii.

TAZAMA VIDEO  HAPA>>>
Share:

AZIMIO YANEEMEKA KUTOKA SERIKALINI.


Na Isaack Gerald_katavi.
Mkoa wa Katavi umepeleka vifaa mbalimbali vya kufundisha na kujifunzia katika shule ya msingi Azimio kitengo maalumu cha watoto wenye ulemavu.
Share:

Tuesday, 24 March 2015

WALA FAINI KWA KUPANDISHA NAULI>>

basiNa Stanley Msigwa-katavi
mamlaka ya usafirishaji nchi kavu na majini SUMATRA Mkoa wa Katavi Imelitoza basi La A.N linalofanya Safari kati ya Katavi na Tabora faini ya zaidi shilingi laki saba kwa makosa matatu tofauti,likiwemo la kupandisha nauli.
Akizungumza na mpanda radio fm/mtandao meneja wa SUMATRA Bwana Aman Erasto amesema kuwa basi hilo lenye namba za usajili T-810 AQY lilikiuka sheria kwa kujaza abiria kupita kiasi,kupandisha nauli zaidi ya bei elekezi na kufanya safari nje na ratiba.

Kwa upande wake bwana Thobiasi Joseph Msimamizi wa Magari ya Kampuni ya Zackaria Express Ameitaka SUMATRA kuangalia miundo mbinu kabla ya kuwatoza faini kwani miundo mbinu ndio chanzo cha wao kuvunja sheria.

Nae bwana masanja mwanaharakati NI miongoni mwa abiria waliokutwa na mkasa wa kupandishiwa nauli amesema kuwa kitendo kilichofanywa na SUMATRA mkoani katavi ni uvamizi kutokana na mamlaka hiyo kutangaza kushusha bei za mafuta na sio nauli.
Share:

Monday, 23 March 2015

MAHELA:UBOVU WA MASOKO CHANZO CHA KUPACK KIHOLELA


Na Stanley Msigwa_katavi.

Muonekano Mbovu Na Kutoboreshwa Kwa Soko Kuu La Mkoa Wa Katavi Zimetajwa Kuwa Ni Sababu Zinazopelekea Uegeshaji Holela Wa Vyombo Vya Usarifishaji Pamoja Na Vuruguru Baina Ya Waegeshaji Hao.
Share:

Sunday, 22 March 2015

MIAKA 10 MAJI TATIZO

VISIMA-VYA-MAJI
Baadhi ya wakazi wakichota maji katika kisima.Picha Na maktaba
 
Na Agnes Munubi-katavi 

Wananchi wa kata ya Kasokola halmashauri ya Nsimbo wameiomba serikali kuwachimbia visima virefu vya maji.

Share:

Friday, 20 March 2015

TMF USO KWA USO NA SAUTI YA KATAVI>>

Mwakilishi kutoka mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF)Alex Kanyambo.Picha na Stanley Msigwa
Mwakilishi kutoka mfuko wa vyombo vya habari Tanzania (TMF)Alex Kanyambo.Picha na Stanley Msigwa

 Hivi Ndivyo Hali Inavyoendelea Katika Kikao Kinachoendelea Baina Ya Waandishi Wa  Mpanda Radio Fm(Sauti Ya Katavi)  Chini Ya Mkurugenzi Mtendaji,Amini Mitha,Meneja ,Prosper Kwigize,Na Mshauri Na Mahusiano, Leonard Chikoti,Na Wawakilishi Kutoka Mfuko Wa Vyombo Vya Habari Tanzania TMF(Tanzania Media Fund)Bwana Alex Kanyambo na Mwanzo Millinga.

Share:

MSENGI:LAZIMA WOTE WARUDI SHULENI.

Ibrahim-Msengi
Mkuu wa Mkoa Wa Katavi,Dr Ibrahim Msengi,Picha na Maktaba

Na Meshack Ngumba-Katavi

 MKUU wa Mkoa wa Katavi Dokta IBRAHIMU MSENGI ameagiza Wanafunzi waliohitimu Elimu ya Msingi mwaka 2014 na kufaulu kwa kuchaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari, waripoti katika shule walizopangiwa.
Share:

Wednesday, 18 March 2015

C.W.T YAFANYA UCHAGUZI MPANDA


Na isaack Gerald_katavi
Chama cha walimu (C.W.T) wilayani Mpanda Mkoani Katavi kimefanya uchaguzi mkuu na kupata viongozi watakaoongoza chama hicho kitengo cha wanawake kwa miaka mitano.
Share:

Tuesday, 17 March 2015

NEW TRACK SIDE TITI FT BELLE SIMPLE-REMIX H 5.DOWNLOAD &LISTEN

hii ni kwa mashabiki wa HipHop culture mzigo kutoka kwa side teacher''SIDE TITI"Akiwa amemshirikisha bell simple unajulikana kama Remix H 5...ikiwa ni sampling kutoka nyimbo zake alizo wakhi kuzifanya kama vile asante katavi,wanasay bado pamoja na wana go down.
Share:

NEW AUDIO:Hr ft Apollo-Kesha.Listen&Download

mzigo mpya kutoka kwa msanii Hr akiwa amemshirikisha Apollo_umetengenezwa na producer van B kutoka Nsemulwa Mkoani katavi.katika studutio za Sindano download&Listen.
Share:

MARUFUKU KUTUMIA MTO KASIMBA TENA!!!

MAJINa Stanley Msigwa_katavi
Wakazi wa mitaa ya Msasani,Tambuka reli na Majengo Mapya katika halmashauri ya mji mpanda wametakiwa kuwazuia na kutowaruhusu watoto kuogelewa na kucheza katika maji yanayo tiririka kwenye mto kasimba.
Share:

Sunday, 15 March 2015

WANAWAKE NDO CHANZO CHA UKIMWI

Na Isaack Gerald-Kataviimages Imeelezwa kuwa kundi la wanawake ndilo linalochangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka maambukizi ya virusi vya Ukimwi ukilinganisha na makundi mengine.
Share:

Friday, 13 March 2015

POLISI VS BODABODA NJOMBE HAPATOSHI.

Madereva Wa pikipiki katika uwanja wa kituo kikuu cha polisi ,mkoa wa njombepicha na maktaba..
Polisi mkoani Njombe inaendesha msako mkali wa kuwakamata madereva wa pikipiki kufuatia matukio mawili yaliyotokea mwishoni mwa wiki iliyopita likiwemo la kuvamia kituo kikuu cha polisi Mjini Njombe tukio lililosababisha uvunjifu wa amani.

Share:

Tuesday, 10 March 2015

WAHARIFU WOTE KUPIGIWA KURA YA MAONI

Ramani ya Tanzania,Na sehemu iliyotiwa kivuli zaidi ni Eneo ambalo Mkoa wa katavi Upo Kiramani.Picha na Maktaba Ramani ya Tanzania,Na sehemu iliyotiwa kivuli zaidi ni Eneo ambalo Mkoa wa katavi Upo Kiramani.Picha na Maktaba
Na issack Gerald_Katavi
Jeshi la Poliasi Mkoani Katavi limesema litaendelea kushirikisha jamii kwa ujumla katika kupambana na uharifu.
Hayo yamebainishwa leo na Kamishna msaidizi Mkoa wa Katavi Rashid Mohamed wakati wa mahojiano na Mpanda fm radio/mtandao huu Ofisini kwake
Share:

Friday, 6 March 2015

KIKWETE:NATAKA TUME YA PANDE TATU IUNDWE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh,Dr Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh,Dr Jakaya Mrisho Kikwete.Picha na Maktaba

Na Stanley Msigwa_Mpanda
Rais Ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete Ametaka Kuundwe Kwa Kamati Maalumu Kutoka Upande Wa Serikali,Watu Wenye Ulemavu Wa Ngozi Pamoja Na Jukwaa La Tiba Asilia,Ili Kuhakikisha Kamati Hiyo Ishughulikie Matukio Ya Utekaji Nyara,Na Mauaji Ya Watu Wenye Ulemavu Wa Ngozi Yanayoendelea Nchini.
Share:

POLISI WA KIKE AVULIWA NGUO NA KUACHWA MTUPU, SOMA ZAIDI




SINGIDA
Wafanyabiashara watatu na wanachuo watano wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Singida wakikabiliwa na mashitaka ya kumdhalilisha kupindukia askari polisi wa kike na kumsababishia maumivu  makali mwilini Mwanasheria wa Serikali, Petrida Mutta alidai mbele ya Hakimu Joyce Minde,kwamba kwa pamoja, washitakiwa hao walimfanyia unyama askari huyo kwa kumvua nguo zote na kumwacha mtupu kisha kumshambulia na kumsababishia maumivu makali mwilini.
Share:

Thursday, 5 March 2015

ZITTO:NGELEJA ANASEMA UPUUZI,NA STORI NYINGINE KUBWA ZA LEO SOMA HAPA>>

Mwenyekiti  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serilali (PAC) na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja, kwamba naye amekuwa akipokea misaada mbalimbali kwa matumizi binafsi kuwa ni upuuzi.

Share:

Wednesday, 4 March 2015

PANDENI MITI MVUNE TUMBAKU!! BOFYA KUSIMA ZAIDI

images  
wakuliama watumbaku wakiwa kwenye hatua ya ukaushaji wa tumbaku,Picha na maktaba.
Na Agness Mnubi-Katavi
WAKULIMA wa zao la Tumbaku Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kupanda miti ya kutosha ili kuhifadhi mazingira. Wito huo umetolewa na Bwana shamba kutoka kampuni ya Premium Idd Ramadhani wakati akihojiwa na Sauti ya katavi kuhusu athari za Uharibifu wa Mazingira zitokanazo na wakulima wa Tumbaku.
Share:

Tuesday, 3 March 2015

WAKAZI WA MTAA WA AIRTEL WAPIGWA MAWE USIKU


Na Isaack Gerald-Mpanda fm Radio
PICHA NA MAKTABA

Imeelezwa kuwa kukithiri kwa vitendo vya uharifu katika kata za Nsemulwa na Uwanja wa ndege katika halmashauri ya mji Mpanda kunasababishwa na baadhi ya raia wanaohamia katika maeneo hayo bila utaratibu wa kufahamika wanakotokea.

Share:

Blog Archive