Tanzania Anthem

Tuesday, 31 March 2015

TUPO VIZURI MSIMU HUU WA PASAKA.

policeNa Stanley Msigwa-Katavi.
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Katavi Kitengo Cha Usalama Barabarani Limesima Kuwa Limejipanga Kikamilifu,Kupambana Na Kudhibiti Vitendo Viovu  Vya Matumizi Ya Barabara Katika Msimu Huu Wa Sikukuu
Akizungumza Na Kituo Hiki Ofisini Kwake Mkuu Wa  Usalama Barabarani John Mfinanga Amesema Wanacho Kifanya Ilikudhibiti Matukio Ambayo Hutokea Msimu Wa Sikukuu,Ni Kwa Kubaini Maeneo Yote Ambao Ni Tete Kwa Watumiaji Wa Barabara.
Aidha Mrakibu msaidizi  Mfinanga Ameongeza Kuwa Kwa Wale Watu Ambao Hutumia Siku Za Sikukuu Kusafirisha Vitu Batili Kwa Madai Jeshi Halipo Makini Nao Watadhibitiwa  Na Kikosi Maalumu Kilichotengwa.
Pamoja na hayo ameitaka Jamii Kuwa Makini Hususani Walezi Dhidi Ya Watoto Wanapokuwa Barabarani Pamoja Na Walevi Katika Matumizi Sahihi Ya Barabara.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive