Tanzania Anthem

Wednesday, 25 March 2015

VIDEO:SNOOP DOG AZICHAPA KAVU KAVU!.

Snoop Dogg alikuwa mgeni kwenye ulingo wa mieleka wa WWE Raw inayofanyika kila jumatatu .Snoop Dogg aliingia kwenye ulingo na kutaka pambano na mcheza mieleka Curtis Axel aliyekuwa akimtani kwenye mitandao ya kijamii.

TAZAMA VIDEO  HAPA>>>

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive