MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Monday, 30 June 2014

RADHI!!!! RADHI!!!!! RADHI!!!! RADHI!!!!

 

uongozi wa Dodoma Fm unapenda kuwatangazia wapenzi waskilizaji wake wote ambao huwa wanasikiliza kwa njia ya mtandao yaani Online Audience.

Share:

Friday, 27 June 2014

MAJI TAKA MKOANI DODOMA YAGEUZWA NA KUTUMIKA NA WAKULIMA....


 
 
Na Stanley Msigwa
Kufuatia kauli ya shirika la  maji safi na maji taka pamoja na usafi wa mazingira mkoa wa Dodoma DUWASA  kuwataka wakulima wa mboga katika bwawa la Swaswa kata ya Ipagala katika manispaa ya Dodoma kusitisha shughuli hiyo kutokana na usalama kiafya, wakulima wa eneo hilo watoa maoni juu ya kauli hiyo.
Share:

Wednesday, 25 June 2014

HABARI KUU KITAIFA LEO HIZI HAPA


KITAIFA
Na lucas godwini
Serikali kupitia wizara ya Viwanda imesema hairuhusu kutumia kuni na magogo kwa ajili ya uzalishaji viwandani hapa nchini.
Share:

STORY KUBWA LEO DUNIANI NI HIZI HAPA



KIMATAIFA
Na Mariam  Kasawa
Maafisa wa wizara ya ulinzi nchini Ukraine wamesema kuwa waasi wanaotaka kujitenga ambao wanaiunga mkono Urusi wamelipua ndege iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa serikali na kuwauwa watu tisa.
Share:

Monday, 23 June 2014

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa kwa miezi sita nchini humo.



Dodoma
Vikundi shirikishi vya polisi jamii katika manispaa ya  Dodoma vimeelezea changamoto  mbalimbali zinazowakabili a wakati wa kutoa elimu ya ulinzi na usalama.

Share:

Friday, 20 June 2014

STORY KUBWA NA MATUKIO KWA LEO JUNE 20 SOMA..


DODOMA
Wabunge wameendelea kuishauri Serikali juu ya kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa ajili ya kuwekeza katika maendeleo ya Taifa.
Share:

HIKI NDICHO WALICHOVUNA UGANDA MARA BAADA YA KUPINGA USHOGA


 Mara baada ya Uganda kupinga ushoga hiki ndicho watu wa magharibi walichosema.

Msemaji wa Whitehouse, Caltlin Hayden ameeleza katika barua yake kwa vyombo vya habari kuwa sheria iliyopitishwa na bunge la Uganda ikiuka haki za binadamu.
Share:

Thursday, 19 June 2014

HABARI ZA LEO NA MATUKIO YA DODOMA FM HAYA HAPA JUNE 19


 

DODOMA

Wakazi wa Kata ya Hombolo  Manispaa ya Dodoma wamelalamika tatizo la uhaba wa maji safi  linalo wakabili  kijijini hapo.
Share:

Tuesday, 17 June 2014

TAARIFA YA HABARI JUNI 17 YA DODOMA FM ISOME HAPA




DODOMA.
Uchache wa Shule za Msingi katika Kijiji cha  Mpunguzi Mkoani Dodoma umepelekea watoto wengi kujiingiza katika Ajira.
Share:

Monday, 16 June 2014

PATA HABARI NZIMA YA DODOMA FM YA LEO HAPA



DODOMA
Wananchi pamoja na viongozi mbalimbali Mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa kuchangia damu  salama ili kuweza kuokoa maisha ya  wagonjwa wengine.
Wito huo umetolewa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr.Zainabu Chaula katika maadhimisho ya uchangiaji Damu yaliyofanyika mwishoni mwa wiki ambapo amesema kuwa kumekuwa na vifo vingi vya akina mama wajawazito wakati wa kujifungua hivyo ni  vyema wananchi wajitokeze kuchangia damu.
Share:

Sunday, 15 June 2014

WABUNGE WAKALIA 2-0

mechi kati ya wabunge na Nmb dodoma imefanyika hii leo katika uwanja wa jamhuri ambapo mpka mpira unaisha Nmb ilikua inaongoza kwa magoli 2-0.

Share:

TAZAMA MKWANJA WA MSHIND WA MTV DAVIDO KWA MWEZI


Huko Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.

Share:

BOB AFUNGUKA KUHUSU NGOMA YA UKWELI WANGU


 Kama umekuwa mfuatiliaji mzuri wa habari za burudani Tanzania, utakuwa umekutana na taarifa za msanii Raheem Rummy Nanji aka Bob Junior kutengana na mke wake Halima Ally baada ya kupata mtoto mmoja ndani ya ndoa yao.

Share:

SOMA TAARIFA YA HABARI YA DODOMA FM HAPA


DODOMA
Wakulima wa manispaa ya Dodoma  wameiomba serikali kuboresha mfumo wa uendeshaji  wa zoezi la sensa ya watu na makazi
Wakizungumza na Dodoma fm wakulima wa mkoa wa Dodoma wamesema hawanufaiki chochote tangu kuanzishwa kwa mchakato huo wa sense ya watu na makazi.
Nae bw.  Mafita maulid ameiomba serikali kuboresha huduma mbalimbali za jamii iliwaweze kujua umuhimu wa sense.
Share:

Friday, 13 June 2014

DON JAZZY KAMWAJIRI MFANYAKAZI WA SHIRIKA LA NDEGE SOMA..


Mfanyakazi wa shirika la airline aliyefukuzwa kazi baada ya kumruhusu kuendesha gari dogo linalotumika kubeba mizigo (arport cart), kinyume cha sheria. 

Don jazzy alifika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa murtala mohammed, lagos nigeria wakati akielekea kwenye tuzo za mtv afrika kusini ambapo aliruhusiwa na mfanyakazi huyo kuendesha kigari hicho tena akiwa na mfanyakazi huyo pembeni.

Share:

SOMA HAPA ALICHOKUTANA NACHO MASOGANGE JELA YA SAUZI


video kwin.. agness gelard a.ka. masogange amefunguka kuhusiana na na matatizo aliyopata jela mwaka jana kule sauzi afrika  alipokama twa na mzigo uliosadikika kuwa ni ..(kushiiii) madawa ya kulevya…
Share:

WALIOPOTEA MALAYSIA FAMILIA ZAO KULIPWA




familia za abiria waliopotea na ndege ya malaysia wameanza kupokea malipo ya awali ya fidia ya dola elfu 50 kila mmoja.

 mpaka sasa, familia sita kutoka malaysia na moja ya china wamepokea fedha hizo na makampuni ya bima yanadai kiasi cha fedha kwa familia 40 zaidi.

ndugu wa abiria wote 239 waliokuwa ndani ya ndege hiyo wanaweza kudai fedha taslimu takribani dola laki moja na elfu 75 kila mmoja.

ndege ya malaysia yenye namba mh370 ilipotea machi 8 mwaka huu wakati ikisafiri kutoka kuala lumpur hadi beijing ambapo hadi sasa haijapatikana.
Share:

Blog Archive