MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Friday, 18 December 2015

NEW AUDIO:TEAM NO STRESS-SHEREHE

KATIKA KUHAKIKISHA BURUDANI HAZIKOMI,TEAM NO STRESS WANAPENDA KUSHARE NA WEWE KAZI YAO MPYA HII HAPA INAITWA SHEREHE.
KAITAYARISHA VAN B KUTOKA ONJECNI REC.
Share:

MUSIC:TEAM NO STRESS-HIP-HOP DOWNLOAD &LISTEN

KUNDI LA TEAM NO STRESS LINAONGOZWA NA SAM SWAGGA-NA LINAUNDWA NA VIJANA WATATU,TONY K,.DASH BOY NA SAM SWAGGA,
Share:

Wednesday, 9 December 2015

CHADEMA:VIONGOZI WASHINIKWA KUNG'ATUKA.

Ni kauli nzuri nchini Tanzania KILIMO NI UTI WA MGONGO Kutokana na ukweli kwamba wakulima ndio wanao zalisha chakula kwaajili ya mahitaji kwa wote lakini kwa sasa wameachwa bila kuwezeshwa mbolea za ruzuku ambazo hupunguza gharama za kilimo baada kulemewa na bei zinazopanda kutoka kwa wafanyabiashara .

Share:

Monday, 7 December 2015

MKUU WA MKOA ATANGAZA SIKU RASMI YA USAFI.

MKOA Wa Katavi umeteua siku ya jumamosi ya Kuwa siku Maalum kwa wakazi wa Mkoa huo kufanya usafi Katika Mazingira yanayowazunguka.

Agizo hilo limetolewa leo  na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dr Ibrahimu Msengi Wakati wa Uzinduzi wa siku ya Usafi Katika Mkoa wa Katavi Ikiwa ni sehemu ya Kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la Kufanyika usafi wa Mazingira ifikapo Decemba 9 Mwaka huu.

Dr Msengi amesema amaagiza Viongozi wa ngazi ya Kata na Vijiji kuandaa utaratibu Maalum wa Utekelezaji wa Agizo hilo ikiwemo Kuwachukulia hatu watu watakaokaidi agizo hilo kwa Kushindwa kufanya usafi Katika Mazingira yanayowazunguka.
MKUU WA MKOA WA KATAVI MSIKILIZE HAPA.
Wakati huo huo Mkuu wa Wilaya Katavi Bw Paza Mwamlima ametangaza amri ya kila mtu kuhakikisha anafanya Kazi ikiwa ni pamoja na Kuzuia bishara ya bar kufanyika nyakati za asbuhi,Michezo kama pool table.
MKUUWA WILAYA YA MPANDA MSIKILIZE HAPA .

Nao baadhi ya wananchi walioshiriki Katika zoezi hilo la uzinduzi wa usafi wamemshukuru Rais Dr John Pombe Magufuli Kwa uamzi wake wa Kusimamia usafi wa Mazingira ambapo wamewataka Viongozi wenye Mamlaka ya kusimamia usafi wasisubiri amri ya serikali ya juu na badala yake wafanye kazi zilizowajili.

Jumla ya tani 65.4 za taka ngumu hukusanywa Katika Manispaa ya Mpanda hali inayochangia kuwepo Kwa maeneo yenye uchafu sugu Katika Mji wa Mpanda.
Share:

Saturday, 5 December 2015

MKURUGENZI MPANDA NA WENZAKE WAFUKUZWA KAZI KWA UPOTEVU WA MAMILIONI.

MKURUGENZI Wa Masnipaa ya Mpanda Bw.Suleiman Lukanga na Watendaji Wengi wa halmshauri hiyo wamesimamishwa Kazi Kutokana na tuhuma za Upotevu wa Shilingi Milioni 92.75.
Share:

Sunday, 29 November 2015

NEW MUSIC:MAN T MKALI FT SPESHO-BELLA-DOWNLOAD

BAADA YA NGOMA YA USIONDOKE MAN T MKALI KAJA NA NGOMA NYINGINE HII HAPA INAITWA BELLA,HAPA KAMSHIRIKISHA SPESHO MTZ IMETENGENEZWA NA PRODYUZA NUSDER.BONGO DAR ES SALAAM.

SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA>>
Share:

Thursday, 8 October 2015

NEW MUSIC:Kid Ink Ft. Chris Brown, French Montana & Verse Simmonds - Diamonds & Gold (Remix)

MZEE WA MAIN CHICK,KUTOKA KWA OBAMA KALETEA MZIGO MWINGINE UNAITWA DIAMOND-GOLD IKIWA NI REMIX KAMSHIRIKISHA MKALI WA RnB CHRIS BROWN,RAPPA FRENCH MONTANA NA JAMAA ANAITWA VERSE MOND.


 ISIKILIZE HAPA>>>
Share:

MUSIC:FADZED FT SNAIDA x UWEZO-NAPANDA MLIMA

kama ni shabiki mkuu wa mziki wa HipHop hii inakuhusu Anaitwa Fredy Msigala A.K.A Fadzed Yupo na Snaida pamoja na uwezo mkwaju Unaitwa Napanda Mlima kutoka Nchi ya ahadi asali na maziwa,Njombe.

Share:

Monday, 14 September 2015

NEW AUDIO:SIDE TEACHER - TANZANIA BHUTI!!! EXTENDED RMX BY DJ SINGLE S

MKONGWE WA GAME MKOANI KATAVI KAKUPA HII NGOMA YAKE INAITWA TANZANIA BHUTI(TANZANIA NIAJE) ORGINAL YAKE ILITENGEZWA NA DINGA BOY KUTOKA ZBM LAKINI HII NI EXTENDED REMIX AMBAYO IMETENGENEZWA NA DJ SINGLE S WA 97.0MHz

Share:

Monday, 31 August 2015

VANESSA MDEE:KILA KITU KANIFUNZA MAMA

VANESSA MDEE AMESEMA KILA KITU JUU YAKE AMEJIFUNZA KUTOKA KWA MAMA YAKE!!!
 WAWAZE MSIKILIZA HAPA CHINI ALICHOKISEMA>>.
Share:

Wednesday, 26 August 2015

(SAUTI)YOUNG DEE HII NDO ELIMU KWA RAIA(DO IT)

RAPA YOUNG DEE KASEMA TRACK YA DO IT ALIYOMSHIRIKISHA BEN PAUL NI ELIMU KWA RAIA YEYOTE NA HAMASA KWA KIJANA DHIDI YA UCHAGUZI WA MWAKA HUU,.
"AMKA KIJANA USILALE FANYA KWELI"MIONGONI MWA MASHAIRI YALIYOMO

SIKILIZA ALICHO KISEMA HAPA CHINI.
Share:

Friday, 21 August 2015

AUDIO:FACE G-BABY GO EXTEND REMIX:DOWNLOAD

SIKILIZA HAPA WIMBO WA FACE G-BABY GO IKIWA NI EXTEND REMIX AMBAYO IMETEYARISHWA NA DJ_SINGLE_S WA 97.0MHz.

DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>
Share:

Thursday, 20 August 2015

OFFICIAL AUDIO-P NESTA FT RAN P--VICK_DOWNLOAD&LISTEN


BAADA YA KUHIT NA TRACK KADHAA AMBAZO ALITENGENEZA NYUMA HUKO HIT MAKER WA "FIRST IN LOVE" P NESTA SASA KAJA NA MZIGO MPYA UNAITWA VICK KAMSHIRIKISHA RAN P-PRODYUZA NI VAN B

DOWNLOAD HAPA CHINI>
Share:

Tuesday, 18 August 2015

NEW MUSIC:MAN T MKALI-USIONDOKE-DOWNLOAD &LISTEN

MAN T MKALI A.K.A MZEE WA SAGALA KAJA NA MZIGO MPYA SAIZ UNAITWA USIONDOKE-KATENGENEZA,VAN B NA CHRIS,
DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>
Share:

Friday, 14 August 2015

MUSIC:SPACK FT VUMILIA-BINADAMU WABAYA EXTENDED REMIX DOWNLOAD

Mkwaju wa spack amemshirikisha vumilia,unaitwa Binadamu wa baya.,arijino version imetengenezwa na maneck Am records lakini hii hapa ni Extended remix imefanywa na Dj Single S.kupitia production za 97.0 Mhz Katavi.
Sikiliza na Download hapa.
Share:

Tuesday, 4 August 2015

SIMANZI:KIGOGO KAMTELEKEZA MKE NA WATOTO 3 KISA DARASA LA SABA.PART 2


Na-MwandishiWetu,Singida.

MDAI katika Kesi ya madai ya talaka Magreth Mwangu  dhidi yaMkurugenzi wa Shule ya St. Mathew, Thadei Mtembei amehoji uhalali wamahakama kufikia kukagua mali zake siku ya Jumamosi  bila kupitiamahakama yoyote hapa Singida.

Share:

Saturday, 1 August 2015

VURUGU:UCHAGUZI KURA ZA MAONI CCM KATA YA IGOSI ZA TIBUKA.(SIKILIZA HAPA) AUDIO

Wakati zoezi la kupiga kura za maoni katika maeneo mbalimbali ndani ya Chama Cha mapinduzi CCM,kwa ajili ya kuwapata wagombea wa kupeperusha chama kwa ngazi ya ubunge na udiwani, katika uchaguzi mkuu mwezi octoba,
Share:

Friday, 31 July 2015

MAKUBWAAAA!!!! INASIKITISHA SANA, KIGOGO AMTELEKEZA MKEWE MWENYE WATOTO 3 KISA KAISHIA DARASA LA SABA.

Na Mwandishi Wetu

MDAI katika kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali Magreth Mwangumkazi wa Mkoani Singida dhidi ya Mkurugenzi wa Shule za sekondari zaSt.Mathew na St Marks Thadei Mtembei amelalamikia kitendo cha Benki yaCRDB kutoa taarifa zake za benki bila idhini yake wala ya mahakama.

Share:

Tuesday, 28 July 2015

MUSIC:ROBY MAVOKO FT H STAR-NANI KWA AJILI YANGU DOWNLOAD

Track inaitwa Nani Kwa Ajili Yangu,imeibwa na Roby mavoko Ft H-Star,imetengenezwa kwa Sindano Jada Rec.
Download na Sikiliza Hapa.

Share:

RIGANGA NA MCHUCHUMA KUAJIRI ZAIDI YA 33,000.

Na Prosper Mfugale_Njombe.
Idara ya Uhamiaji nchini imejipanga kukabiliana na wahamiaji kutoka nje ya nchi wanaokuja kufuata fursa za uwekeza katika migodi ya madini ya makaa ya mawe Nchuchuma na  Liganga wilayani Ludewa mkoani Njombe.
Share:

AUDIO:ROBY MAVOKO FT MAJALEE-ME AND U DOWNLOAD&LISTEN

DOWNLOAD HAPA WIMBO WA ROBY MAVOKO KUTOKA 3BOYZ KATAVI. MZIGO UNAITWA ME AND U AMEMSHIRIKISHA MAJALEE.
 DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA CHINI>
Share:

Thursday, 23 July 2015

NSIMBO YAMEGEKA RASMI(SAUTI) SIKILIZA HAPA>>

Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo mkoani katavi,itakosa baadhi ya Miradi ya maendeleo iliyokuwa ikizisimamia kutokana na kugawanywa kwa maeneo mapya  ya Utawala ya halmashauri hiyo.
SIKILIZA HAPA CHINI>>
Share:

Monday, 20 July 2015

DR.MSENGI LAZIMA TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA UHARIFU(AUDIO)SIKILIZA HAPA

Imeelezwa Kuwa Ushirikishwaji Wa Kila Mtu Ndani Ya Mkoa Wa Katavi Utapelekea Kupungua Tatizo La Uharibifu Wa Mazingira. 

SIKILIZA HAPA SAUTI NZIMA>>
Share:

Saturday, 18 July 2015

(SAUTI) HATIMAYE KERO YA MADARASA KUPUNGUA KISASI

IMEELEZWA kuwa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Igalula unatarajia kupunguza adha ya uhaba wa madarasa katika shulez za msingi wilayani mpanda mkoani katavi. SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA>>.
Share:

MATUKIO YA SIKU NZIMA (SAUTI) DOWNLOAD NA SIKILIZA

kama haukuwa karibu na vyombo vya habari leo haya hapa matuko ya siku nzima kwa sauti karibu na usikilize.
 download na sikiliza>>

Share:

Wednesday, 15 July 2015

HABARI PICHA::WAKATI WA SWALA YA JIONI PAMOJA FUTARI AKIWA MKUU WA MKOA NA WENGINE.

MKUU wa Mkoa wa Katavi Dk. Ibrahim Msengi amesisitiza kuwepo kwa amani, upendo na ushirikiano kwani itakuwa ni fursa nzuri kwa watu kufanya shughuli za maendeleo.
Share:

Friday, 10 July 2015

MWENGE WASABABISHA BARABARA ZIKARABATIWE


Ukarabati wa barabara ya mto kasimba umeenza kutokana na ujio wa mwenge wa uhuru july 20  mwaka huu.
Share:

Thursday, 9 July 2015

AUDIO:WAMETAKIWA KUWA WAVUMILIVU ILI KAPATA ZAIDI SIKILIZA HAPO MAHOJIANO

Wakazi wa msasani manspaa ya mpanda wametakiwa kuwa wavumilivu wakati huu ambapo serikali ya mtaa ikisubiri majibu kutoka kikao cha maendeleo ya kata WADC juu ya kupimiwa viwanja vya biashara Mwenyekiti wa mtaa huo amezungumza na mtandao huu mapema asubuhi hii..
SIKILIZA NA DOWNLOAD SAUTI.
Share:

Wednesday, 8 July 2015

AUDIO:BARACKA DA PRINCE FT RUBY--NIVUMILIE

BARACKA DA PRINCE BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII CHIPUKIZI SASA KARUDI TENA NA MZIGO MPYA AKIWA AMEMSHIRIKISHA MWANADADA RUBY UNAITWA NIVUMILIE UMETENGENEZWA NA MAPRODYUZA WATATU,NUSDER,LOL POP NA KIDBOY.
 DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>>
Share:

NEW MUSIC:MWANA FA,NICK WA PILI,ASLAY CHRISTIAN BELLA,RUBY-TANZANIA MPYA-DOWNLOAD

WIMBO MPYA WA KUSHIRIKIANA MWANA FA,NICK WA PILI,ASLAY CHRISTIAN BELLA,RUBY,NA WENGINE UNAITWA TANZANIA MPYA.
 DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>>
Share:

Tuesday, 7 July 2015

WAASWA KUTOA TAARIFA WANAPOKUBWA NA MATATIZO.

Na Stanley Msigwa-katavi

Wananchi Wametakiwa Kuto Kaa Kimya  Mara Wapatapo Matatizo Na Badala Yake Watoe Kwa Viongozi Wa Eneo Husika.

Share:

Saturday, 4 July 2015

NEW AUDIO:NEY WA MITEGO_SINA MDA-DOWNLOAD

BAADA YA MAPENZI AU PESA? ALIO MSHIRIKISHA DIAMOND PLATNUMZ NEY WA MITEGO KAKULETEA HIPHOP HII INAITWA SINA MDA
 DOWNLOAD &LISTEN >>
Share:

NEWS& AUDIO:WABUNGE 35 WAPIGWA MARUFUKU KUHUDHURIA VIKAO SIKILIZA HAPA.


HAWA NDIO WABUNGE WALIOSIMAMISHWA KWA SIKU TANO KUHUDHURIA VIKAO VYA BUNGE MJINI DODOMA KUTOKA NA VURUGU ZILIZOTOKEA, KWA MJIBU WA KAMATI YA MAADILI YA BUNGE MSIKILIZE PIA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH ANNE SEMAMBA MAKINDA AKIJIBIZANA NA WABUNGE BAADA YA KUTOA MAJIBU YASIYO WARIDHISHA>
Share:

AUDIO:KILICHOJILI BUNGENI MPAKA KUAHIRISHWA,SIKILIZA HAPA>>

hii ndio sababu ya kuahirishwa kwa bunge siku mbili mfululizo
Download na  Sikiliza hapa>>

Share:

Thursday, 2 July 2015

BUNGE LAAHIRISHWA KWA MDA USIOJULIKANA.>>

.download
Na.Issack Gerald-Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Makinda,amesitisha vikao vya bunge la Tanzania kwa muda usiojulikana.
Share:

Wednesday, 1 July 2015

NEW MUSIC:STEVE BOY FT MAJALEE-NDOTO ZANGU.

SIKILIZA HAPA WIMBO MPYA WA STEVE BOY FT MAJELEE-NDOTO ZANGU UMETENGENEZWA CHINI YA VAN B ONJEN REC.
 DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>>
Share:

AUDIO:SMILE SIMANZI-NIENDE NAWE

SIKILIZA HAPA MZIKI MPYA KUTOKA KWA MSANII CHIPUKIZI ANAITWA SIMILE SIMANZI NIENDE NAWE UMETENGENEZWA CHINI YA MTARAYARISHAJI VAN B.KATIKA STUDIO ZA ONJENI REC.
DOWNLOAD &LISTEN>>
Share:

Tuesday, 30 June 2015

MUSIC:AUDIO ALLY PIC NAUMIA DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA

wimbo mpya wa Msanii Ally Pic unaitwa Naumia-Umetengenezwa ZBM Producition chini ya mtayarishaji DingaBoy.
Download Na sikiliza Hapa>>
Share:

Monday, 29 June 2015

NEW MUSIC:STEVEBOY-NIENDE NAWE DOWNLOAD &LISTEN

SIKILIZA HAPA WIMBO MPYA WA MSANII CHIPUKIZI KUTOKA KATAVI ANAITWA STEVE BOY WIMBO UNAITWA NIENDE NAWE UMETAYARISHWA NA PRO.VAN B WA ONJENI REC
 DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>> 

Share:

Sunday, 28 June 2015

Thursday, 25 June 2015

MUSIC:QWEEN H--NINUSURU-DOWNLOAD &LISTEN

MWANADADA QUEEN H KAJA NA WIMBO WAKE MPYA UNAITWA NINUSURU IMETENGENEZWA NA DINGA BOY KUTOKA STUDIO ZA ZBM PRODUCTION ENEO LA SHANWE MPANDA MJINI.
DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>
Share:

Wednesday, 24 June 2015

AUDIO:PEACE MAKER--WHY(UMESEPA) -DOWNLOAD &LISTEN

KWA MARA NYINGINE TENA HITMAKER WA MAPENZI MATAMU MAARUFU KAMA (PEACEMAKER)KAJA NA MZIGO MPYA UNAITWA WHY UMESEPA  KAZI IMETENGENEZWA EBENEZA REC MKOANI DODOMA.

DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA>>
Share:

Thursday, 18 June 2015

(AUDIO) DOWNLOAD & LISTEN::R.M.K FT S.MAPOZI--HATA KAMA KIJIJINI

HAWA NI WASANII WAPYA KUTOKA KATAVI ENEO LA MPANDA NDOGO JAPO WANATRACK NYINGI,WALIZORECORD ILA SASA WAMEANZA NA KUTOA WIMBO UNAOITWA HATA KAMA KIJIJI. UMETENGENEZWA NA SINDANO JADA REC. 

DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA.
Share:

Wednesday, 17 June 2015

NEW AUDIO(HR FT ADJAST--NENDA ZAKO

Hii hapa track mpya ya HitMaker wa kesha ambayo safari hii kamshirikisha mwanadada Adjast, Track inaitwa nenda Zako imetengenezwa na prodyuza Van B 

DOWNLOAD NA SIKILIZA HAPA CHINI>

Share:

AUDIO)DOWNLOAD NASHWAY-NAKUFUTA MACHOZI(UHAKIKA-INFO)

DONLOAD NA USIKILIZE HAPA WIMBO MPYA KUTOKA KWA NASHWAY WIMBO UMETENGEZWA ONJENI REC NA MTAYASHAJI NI VAN B 
Share:

Monday, 15 June 2015

NEW AUDIO)LAU WA JOHN FT MO MUSIC-BADO NIKO NAE

KUTOKA MWANZA AMBAKO KUNA MASTAA MBALIMBALI WA MZIKI HAPA NCHINI,DOGO MWINGINE HUYU HAPA NI UPCOMING. TRACK YAKE INAITWA BADO NIPO NAE KAMSHIRIKISHA MO MUSIC MSHIRIKI WA KTMA 2015

 DOWNLOAD NA SIKILIZA >>
Share:

Wednesday, 10 June 2015

AUDIO(INTERVIEW) MSIGWA,MWANAKATWE Vs SAM BOY,OCHODO &RAN P ON NGOMA MCHAKA MCHAKA

Hii hapa interview Kati ta kundi la Wasaka Tonge na Dj Single S akiwa na Mwanakatwe The boy Kwenye (NMM) Ngoma Mchaka Mchaka.

download &listen   

Share:

Friday, 5 June 2015

''KILIMO KINAONGOZA KWA UHARIBIFU WA MAZINGIRA''>>

Na prosper Mfugale-njombe & msigwa stanley_katavi

Imetajwa Kuwa Shughuli Za Kilimo Ndio Zinaongoza Kwa Uhalibifu Wa Mazingira Kwa Kiasi Kikubwa Ikilinganishwa Na Nyingine.
Share:

Thursday, 4 June 2015

{AUDIO}INTERVIEW MKOLONI WA WAGOSI WA KAYA NA DJ SINGLE S .

NMM_NGOMA MCHAKA MCHAKA  NIKIPINDI CHA BURUDANI AMBACHO HURUKA KWA SIKU NNE JUMA TATU MPAKA ALIHAMISI AMBAPO HABARI,NA TAARIFA MBALIMBALI ZA KIBURUDANI HUSIKIKA.

Share:

Wednesday, 3 June 2015

(AUDIO) LEAKEAD DIAMOND PLATNUMZ-NITAKUKUMBUKA

HII NDO NYIMBO YA DIAMOND AMBAYO INADAIWA KUVUJA INAITWA NITAKUKUMBUKA. KWA TEMBO ZINAZOENDA.
Share:

Blog Archive