Tanzania Anthem

Friday, 5 June 2015

''KILIMO KINAONGOZA KWA UHARIBIFU WA MAZINGIRA''>>

Na prosper Mfugale-njombe & msigwa stanley_katavi

Imetajwa Kuwa Shughuli Za Kilimo Ndio Zinaongoza Kwa Uhalibifu Wa Mazingira Kwa Kiasi Kikubwa Ikilinganishwa Na Nyingine.


Hayo Yameelezwa Na Katibu Wa Mashirika Njombe (Njodingo)Bw.Richard Nziku  Wakati Tanzania Ikiadhimisha Siku Ya Mazingira Duniani Ambapo Amesema  Mashirika Binafsi ,Na Serikali Yanawajibu Wakutoa Elimu Juu Ya Utunzaji Kwa Wananchi Ili Watambue Uhifadhi Na Matumizi Sahihi Ya Mazingira.

Ili Asasi Binafsi Ziweze Kufikisha Elimu Kwa Mwananchi Na Kwawakati Husika Kunamambo Inabidi Yawepo Ndani Ya Asasi,Je Ni Yapi? Bwana Nziku Anabainisha.
‘‘Kutokuwa na watalamu wa kuandika mikakati endelevu ni chanzo ambacho kinakwamisha mara tu baada ya wafadhili wakiondoka.”


Kwa Upande Wake Bwana Sebastiani Mkazi Wa Njombe Amesema Kuwa Mabadiliko Ya Mazingira Kwa Kiasi Kikubwa Yanaharibiwa Na Hali Ya Hewa Ukitofautisha Na Hapo Zamani.

Siku Ya Mazingira Duniani Huazimishwa Kila Mwaka Tarehe 1 - 5 Juni Na , Maonesho Hayo Yalifunguliwa  Rasmi Na Tarehe 1 Mei,2015, Na Waziri Wa Uchukuzi, Mheshimiwa Samwel Sitta  Kwa Niaba Ya Makamu Wa Rais Mheshimiwa Dkt . Mohamed Gharib Bilal

Ambapo Mwaka Huu Maadhimisho Hayo Yanaongozwa Na Kaulimbiu  Ndoto Bilioni  Saba. Dunia Moja. Tumia Rasilimali Kwa Uangalifu” (Seven Billion Dreams. One Planet. Consume With Care).. 
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive