Tanzania Anthem

Tuesday, 7 July 2015

WAASWA KUTOA TAARIFA WANAPOKUBWA NA MATATIZO.

Na Stanley Msigwa-katavi

Wananchi Wametakiwa Kuto Kaa Kimya  Mara Wapatapo Matatizo Na Badala Yake Watoe Kwa Viongozi Wa Eneo Husika.

Hayo  Yamesemwa Na Diwani Wa Kata Ya Misukumilo Bwana Wiley Mbogo Kufuatia Malalamiko Ya Baadhi Ya Wakazi Wa Kitongoji Cha Milupwa,Kutopimiwa Viwanja Na Kudai Kuwa  Vimewekewa Alama Kuonesha Kuna Mtu Anaemiliki Maeneo Hayo.Bw.Mbogo Amewataka Wananchi Kwenda Kumuona Ili Wasaidiwe Madai Yao Kwa Kufika Katika Ofisi Za Idara Ya Ardhi Ili Ufumbuzi Unapotolewa  Serikali Na Kusisitiza Wahanga Wawasiliane Na Ofisi Yake.Aidha Ameonya Kuwa Masuala Ya Kitendaji Yasisubiliwe Kutatuliwa Kisiasa Kwani Mwananchi Akisubiri Yashughulikie Na Ofisi Yake Itatatua Kisiasa Na Sio Kiutendaji.


Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive