Ni kauli nzuri nchini Tanzania KILIMO NI UTI WA MGONGO Kutokana na ukweli kwamba wakulima ndio wanao zalisha chakula kwaajili ya mahitaji kwa wote lakini kwa sasa wameachwa bila kuwezeshwa mbolea za ruzuku ambazo hupunguza gharama za kilimo baada kulemewa na bei zinazopanda kutoka kwa wafanyabiashara .
SIKILIZA HAPA KWA UNDANI ZAIDI
0 comments:
Post a Comment