MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN
kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..
MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)
Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..
NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD
MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..
AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)
The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni
CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..
Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu
Tanzania Anthem
Monday, 28 July 2014
Thursday, 24 July 2014
Friday, 18 July 2014
NCHIMBI; MKOA WA DODOMA UMESHAMBULIWA NA MBWA VICHAA!!
Mkoa wa Dodoma na wilaya zake unakabiliwa na tatizo la kuzuka kwa mbwa wenye ugonjwa wa kichaa wanaowadhuru wananchi na kuwasababishia madhara makubwa.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi alipokuwa akizungumza na Dodoma FM katika Viwanja vya Nane nane ambapo amesema mpaka sasa takribani watu kumi huripoti hospitali kwa siku kutokana na kuumwa na mbwa hao.
Thursday, 17 July 2014
HUU NDIO UFAULU KWA KIDATO CHA SITA 2014 MATOKEO YOTE HAYA HAPA.
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6
yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225
sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III.
Jumla ya watahiniwa 38,905
sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6
wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni
26,825......
Saturday, 12 July 2014
Friday, 4 July 2014
TAZAMA NEW VIDEO YA IBRA MAMBO-PRODYUZA FUNDI SAMWELI

KAMA UNAKUMBUKU NZURI IBRA MAMBO NI MIONGONI MWA WASANII WALIO FANYA
VIZURI KWA BAADHI YA TRUCK ZAKE NYANDA ZA JUU KUSINI(IRINGA)
NA SASA YUPO MJINI DODOMA NA YUPO KATIKA REBO YA COCO RECO MJINI DODOMA...,,,,,,,,