MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN
kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..
MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)
Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..
NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD
MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..
AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)
The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni
CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..
Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu
Tanzania Anthem
Friday, 20 January 2017
Tuesday, 17 January 2017
Monday, 16 January 2017
NEWS:MGOGORO WA POLISI DHIDI YA MAMA MJANE CHALI.>>
Hatimaye mgogoro wa ardhi baina ya jeshi la polisi Makambako wilaya ya Njombe na mama mjane Magreth Gumbo aliyekuwa anazuiwa kujenga nyumba katika kiwanja anachomiliki kihalali kwa madai kuwa amevamia eneo la jeshi makambako umepata ufumbuzi baada ya mkuu wa mkoa wa njombe Christopher Olesendeka kufika katika eneo hilo na kutoa maamuzi.