MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Friday, 20 January 2017

VIDEO:GAMBIA KUONGOZWA NA MARAIS WAWILI.


Mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Gambia ameapishwa rasmi kuwa rais wa taifa hilo.


Share:

Tuesday, 17 January 2017

UCHAMBUZI: JE NI SAWA KUMKARIRISHA MTOTO DARASA>>

MDAHALO. 


JE? UONAVYO WEWE NI SAHIHI KUMKARIRISHA WANAFUNZI DARASA? 

Share:

Monday, 16 January 2017

NEWS:MGOGORO WA POLISI DHIDI YA MAMA MJANE CHALI.>>

Hatimaye mgogoro wa ardhi baina ya jeshi la polisi Makambako wilaya ya Njombe na mama mjane Magreth Gumbo aliyekuwa anazuiwa kujenga nyumba katika kiwanja anachomiliki kihalali kwa madai kuwa amevamia eneo la jeshi makambako umepata  ufumbuzi baada ya mkuu wa mkoa wa njombe Christopher  Olesendeka kufika katika eneo hilo na kutoa maamuzi.
Share:

Saturday, 14 January 2017

VIDEO:CHADEMA WAJA NA MPYA,KESI YA LEMA>>

Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA,Baada ya vuta nikuvute mahakamani dhidi ya kesi ya Mbunge wa arusha mjini Godbless Lema.

Share:

Blog Archive