Tanzania Anthem

Friday, 20 January 2017

VIDEO:GAMBIA KUONGOZWA NA MARAIS WAWILI.


Mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Gambia ameapishwa rasmi kuwa rais wa taifa hilo.




Baro amekula kiapo hicho katika ubalozi wa Gambia nchini Senegal huku akiwaagiza wanajeshi wa Gambia kusalia katika kambi zao.

Lakini aliyekuwa rais wa taifa hilo Yahya Jammeh amekataa kujizulu na muda wake wa kuhudumu umeongezwa na bunge.


Viongozi wa Afrika Magharibi wameshindwa kumsihi bw Jammeh kuondoka mamlakani.


 Nje ya ubalozi huo raia wengi wa Gambia wanaofanya kazi nchini Senegal wamekongamana kkushuhudia kuapishwa kwa rais mteule wa Gambia Barrow ambaye wanamuona kuwa rais wa kwanza wa Gambia katika kipindi cha miaka 22.

Kuapishwa kwa barrow wakati jammeh hajaondoka kutalifanya taifa hilo kuwa na viongozi wawili kwa cheo kimoja wakati barrow akitambuliwa kimataifa na rais jammeh akitambuliwa na bunge la nchi.

TAZAMA HAPA CHINI KUAPISHWA KWA BARROW.
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive