MUSIC:BEX WAMUSIC-NISAMEHE DOWNLOAD AND LISTEN

kutoka kwa Msanii Bex wa Music Kakusogezea audio Hii hapa.Nisamehe Imetayarishwa na Dir Shack..

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani..

NEW MUSIC:RYCHRIS-SHUKA BWANA--GOSPLE-DOWNLOAD

MWIMBAJI WA MZIKI WA INJILI RUMISHAEL ULOMI (RYCHRIS) KWA SASA AMEKUSOGEZEA KAZI HII MPYA YA SHUKA BWANA..

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniazi(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni

CHANZO CHA ZERO SHULE ZA MSINGI HIKI HAPA..SIKILIZA NA DOWNLOAD..

Ugumu wa soko la Ajira si tatizo la Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu

Tanzania Anthem

Thursday, 9 November 2017

SAUTI:SEHEMU YA KWANZA:MGUNDUZI WA ISONITE (Mzee Wa Info)

Historia ya Mvumbuzi Jumanne Mhero Ngoma, Mtoto Wa Mfugaji na mgunduzi wa madini adimu ulimwengu mzima ya ISONITE kwa sasa ni TANZANITE.
 Alizaliwa Katika Kijiji Cha Marwa mwaka, Wilaya Same Mkoa Wa Kilimanjaro, Wazazi Wake Walihamia Mererani Wakitokea Kijiji Cha Marwa Kwa Ajili Ya Kutafuta Malisho Ya Mifugo ,
kujua sehemu ya kwanza ya ugunduzi Huu fatilia kupia sauti Hii.


Share:

Friday, 3 November 2017

AUDIO:KUTANA NA WAGUNDUZI WA MAGARI YOTE.(Mzee Wa Info)

Magari yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu leo. Wanaotumia kila siku na mamilioni ya watu duniani kote. Kuna wastani wa magari 1,000,000,000 (bilioni 1) kwa makadirio ya mwaka 2010, ambapo kulikuwa na magari milioni 500 tu mwaka 1986. Idadi ambayo inaendelea kuongezeka kila uchwao. Idadi kubwa ya magari leo hupatikana nchini India na China.

Share:

Thursday, 2 November 2017

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniaz(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni. Mnamo mwezi March tarehe 3, mwaka 1847 dunia ilibahatika kupewa mtoto Alexander Graham Bell kule edinburg uskotish,Scotland na baadae alihamia Canada na marekani,ambaye alifanya mambo makubwa mengi yaliyofanya mpaka leo hii tunafurahia uwepo wake,na hatimaye aliyemleta bwana Alexander Graham Bell aliamua kumchukua August tarehe 2, mwaka 1922.naamaanisha nini Basi,Huyu Bw Bell ndiye Mgunduzi Wa kwanza wa Simu ya Mkononi.

Share:

MAPENGO YA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI.(Mzee Wa Info)

Muungano wa asasi za kiraia unaoshawishi, kuimarishwa kwa mazingira ya sheria na sera ya usalama barabarani wamekutana katika kujadili mapungufu ya sheria simamizi za barabara. sikiliza hapa chini Mzee wa Info imekuwekea audio 

Share:

Blog Archive