Tanzania Anthem

Thursday, 2 November 2017

AUDIO:WAJUE GENEOUS WAVUMBUZI WA 3G,4G ..(Mzee wa Info)

The giniaz(Geneous) ndo muda wake kwa sasa Mzee wa Info nakusogezea majiniazi wa vitu mbalimbali huku ulimwenguni. Mnamo mwezi March tarehe 3, mwaka 1847 dunia ilibahatika kupewa mtoto Alexander Graham Bell kule edinburg uskotish,Scotland na baadae alihamia Canada na marekani,ambaye alifanya mambo makubwa mengi yaliyofanya mpaka leo hii tunafurahia uwepo wake,na hatimaye aliyemleta bwana Alexander Graham Bell aliamua kumchukua August tarehe 2, mwaka 1922.naamaanisha nini Basi,Huyu Bw Bell ndiye Mgunduzi Wa kwanza wa Simu ya Mkononi.

Jiniazi ambaye Baba yake babu yake na kaka yake wote walikua wakijihusisha na maswala ya namna ya uzungumzaji pamoja matamshi yanii (elocution and speech). Wakati wife wake ndiye aliye mvutia na kumshawishi Alexander Graham Bell aweze kuzama ndani zaidi ki uchunguzi kwa kufanya uchunguzi katika matamshi na usikilizaji baadae alikwenda zaidi kuchunguza ni jinsi gani vifaa vya kusikilizia sauti hufanya kazi hapo ndipo alipo weza kuibuka na simu ya kwanza yenye kufanya kazi kwa kuchanganya na utafiti wa mwanasayansi Antonio meush,,muitaliano

kujua kwa kina Zaidi juu ya 1G,2G na kuendelea download sauti hapa chini.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive