Tanzania Anthem

Friday, 23 January 2015

KIJANA KAMATA FURSA HAPA BOFYA KUONA ZAIDI>>

Vijana Mkoani dodoma wameshauriwa kuzichangamkia fursa zilizopo ikiwa ni pamoja na kutumia rasilimali zilizopo ili kujikwamua kiuchumi,
Hayo yamesemwa na na Bwana Lazaro Raubeni ambaye ni mtendaji mkuu wa MGT asasi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na na masuala ya vijana,akiwasilisha hoja yake bwana huyo ametoa hamasa kwa vijana juu ya utambuzi wa fursa na rasilimali zinazo wazunguka kutumika vizuri ili kusaidia jamii.

SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA>>>

Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive