Ugumu wa soko lajira si tatizo la
Tanzania pekee bali karibia mataifa yote ulimwenguni yanakumbana na changamoto
hii,lakini tatizo ni kubwa zaidi kwa mataifa ya ulimwengu wa tatu au kwa yale
yanayoendelea kiuchumi,ambapo katika kukamilisha sera za millennia inatakiwa
kila taifa liwe limepunguza idadi kubwa ya wimbi hilo hususani vijana ambao
ndio waathiriwa wakubwa.
Mwandishi STANLEY MSIGWA KUTOKA
DODOMA ameeandaa taarifa zaidi juu ya kuangalia tatizo hili lilivo kubwa hapa
nchini kwa vijana wanao hitimu elimu ya juu na vyuo mbalimbali SIKILIZA HAPA CHINI.
0 comments:
Post a Comment