Imethibitika leo kuwa Rais wa afrika ya kusini Jacob Zuma alitia saini siku mbili zilizopita sheria mpya itakayoruhusu kupigwa muhuri wa maandishi kwenye sehemu nyeti za waathirika wa maradhi ya ukimwi nchini humo.
Kituo kimoja cha radio nchini Afrika Kusini kimesema leo kuwa rais zumma aliweka saini sheria hiyo baada ya kuridhiwa na bunge la taifa na kuwa sheria hiyo mpya inatizamwa kama hatua kubwa kabisa katika historia ya ulimwengu kwenye kukabiliana na maradhi ya Ukimwi.
Kuanzia sasa raia yeyote wa Afrika Kusini atakayetambuliwa kwa vipimo kuwa ana virusi vya ukimwi hatopatiwa ushauri nasaha pekee na badala yake atapiga chapa ya muhuri karibu na sehemu zake za siri kuashiria kuwa ni muathirika.
“Alama hiyo itawalinda dhidi ya ukimwi wale wasioweza kujizuia kufanya ngono” amekaririwa rais zuma akisema muda mfupi baada ya kuweka sahihi.
![]() |
HIVI NDIVYO ITAKAVYO KUWA. |
Muswada huo vilevile umeweka ruzuku ya hadi randi 50,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 8 za Tanzania kwa wale watakaowekewa chapa hiyo kwa ajili ya kugharamia mazishi yao.
CHANZO CHA HABARI HII
https://www.facebook.com/301458400042694/photos/a.302006226654578.1073741828.301458400042694/362961283892405/?type=1&theater
CHANZO CHA HABARI HII
https://www.facebook.com/301458400042694/photos/a.302006226654578.1073741828.301458400042694/362961283892405/?type=1&theater
0 comments:
Post a Comment