Tanzania Anthem

Monday, 2 February 2015

SABABU YA UFAULU KONDOA ZAANIKWA WAZI--SIKILIZA HAPA NA UDOWNLOAD


Wazazi na walezi wametakiwa kushirikiana na walimu ili kuongeza kiwango cha ufaulu katika shule za msingi na sekondari hapa nchini.Akizungumza Na kituo hiki  mwalimu mkuu wa shule ya msingi  Maji ya Shamba  Bi.Dolah Mwanadama katika wilaya ya kondoa  mkoani Dodoma.,amesema kuwa ushirikiano mzuri baina ya jamii na ndio uliopelekea wao kushika nafasi ya tatu kiwilayakwa undani wa habari hii listern and download hapa>>


Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive